Inter Press Service News Agency
Wednesday, May 22, 2013   14:26 GMT    
  Subscribe !
 

Enter your email and receive TerraViva Africa, our free weekly journal

   Homepage
   World Service
   East Africa
   Southern Africa
   West Africa
   Central Africa
 
   Environment
   Health-HIV/AIDS
   Education
   Rights
   Politics
   Economics
   and Finance
   Development
   Energy
   Population
   Culture
 
   Radio Service
 
   Français
 
   About IPS
 
   ENGLISH
   ESPAÑOL
   FRANÇAIS
   ARABIC
   ČESKY
   DEUTSCH
   ITALIANO
   JAPANESE
   MAGYAR
   NEDERLANDS
   POLSKI
   PORTUGUÊS
   SRPSKI
   SUOMI
   SVENSKA
   SWAHILI
   TÜRKÇE
PrintSend to a friend
Readers Opinions

SYRIA:
Nafasi ya Al Assad ya Kusitisha Umwagaji Damu
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)

ABU DHABI, Aprili 5 (WAM) - Uamuzi wa rais wa Syria, Bashar Al Assad wa kukubali mpango wa amani na kuruhusu timu za wanachama wa Umoja wa Mataifa kuingia nchini Syria kunampatia fursa nzuri ya kujaribu na kufufua hali ya kujali kwake haki za binadamu ambayo ilianza kufifia. Kwa maana hiyo, fursa hiyo isipokelewe kwa kuendelea kuenea kwa ghasia kabla ya tarehe ya mwisho ya Aprili 10 iliyopangwa kusitisha vita nchini humo, limetoa maoni gazeti la kila siku katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE).

Mapendekezo yaliyotolea na Kofi Annan yanatoa wito wa kuondolewa kwa vikosi vya kijeshi na vifaa vizito vya kivita katika maeneo yenye wakazi wengi – kwanza na serikali ya Syria halafu vikifuatiwa na vikosi vya upinzani. "Kusitisha mapigano kunatarajiwa kujenga mazingira ya mazungumzo yenye lengo la kufikia ufumbuzi wa kisiasa," lilisema gazeti la kila siku la Gulf News katika tahariri yake.

Vikosi vya Syria vimekubali kuzungumza ambapo siku za nyuma havikuweza kukubali ila kuamua kutumia njia ya ghasia kutokana na kudai kuwa waasi ndiyo wa kwanza kuwachokoza. Ni mbinu inayofaa kuungwa mkono na inaelezea ni kwa nini jeshi linachukua hatamu katika viunga vya jiji vyenye wakazi wengi. "Ukweli kwamba upinzani umekuwa dhaifu, umegawanyika, wamekuwa wakipigana wenyewe kwa wenyewe na kugombea madaraka kulimsaidia rais Al Assad kukubali mpango huu.

"Wakati hataki kupoteza udhibiti, Al Assad lazima kufanya jitihada za kweli kuvuna matunda ya mchakato wa kidiplomasia ambao kwa sasa ni lazima kuukubali," liliongeza gazeti hilo. (WAM) (END/2012)

 

 
English Version
Versión en español
Version em português
Japanese Version
 Latest News in Swahilli
News in RSS
UAE: Balozi Awakilisha Hati Zake kwa Rais wa Tanzania
MASHARIKI YA KATI: Gazeti la UAE Lazungumzia Ziara ya Obama
UAE: Wanawake Wengi zaidi Watarajiwa Kuanzisha Biashara Mwaka Huu
UAE: Msaada Kwenda Pakistan ni wa Kupongezwa, Linasema Gazeti la Nchini Humu
UAE: Wanawake Wapata Mafanikio Katika Sekta ya Biashara
UAE: Shirika la Ndege la Etihad Laongeza Safari za Pakistan
UAE: Ujumbe wa Kitaifa Washiriki katika Jukwaa la Utalii Uarabuni Nchini Misri
UAE: Wizara ya Masuala ya Biashara za Nje Yajadili Mahusiano na Ujumbe wa Colombia
UAE: Wizara ya Masuala ya Biashara za Nje Yajadili Mahusiano na Ujumbe wa Colombia
UAE: RCA Yasambaza Misaada ya Kiutu kwa Wakimbizi wa Syria na Jordan
More >>
  Dernières Nouvelles
News in RSS
KENYA: Des femmes pour briser le plafond de verre dans le gouvernement
RD CONGO: La réintégration des déserteurs du M23 dans l’armée divise l’opinion
ETATS-UNIS: Des réformes pourraient réduire énormément l’immigration africaine
SOMALIE: Accorder aux extrémistes une seconde chance
NIGER: La scolarisation des filles confrontée aux croyances socioculturelles
A lire également >>
 News in Swahili
News in RSS
Can South Africa Help Nigeria to Industrialise?
Zimbabwe’s Ruling Party Militias Spread Fear of Voting
It Takes a Village to Educate a Girl
Equality for women in Africa still a work in progress
How to Save a Fish … a Lake and a People
OP-ED: Put a Spotlight on African Women’s Reproductive Rights
Civil Society Under Attack Around the World
Pressure Mounting on U.S. over Congo Violence
Is Aid to South Africa Drying Up?
Ethiopia Playing at Being Good Neighbours
More >>