Inter Press Service News Agency
Monday, May 20, 2013   12:12 GMT    
  Subscribe !
 

Enter your email and receive TerraViva Africa, our free weekly journal

   Homepage
   World Service
   East Africa
   Southern Africa
   West Africa
   Central Africa
 
   Environment
   Health-HIV/AIDS
   Education
   Rights
   Politics
   Economics
   and Finance
   Development
   Energy
   Population
   Culture
 
   Radio Service
 
   Français
 
   About IPS
 
   ENGLISH
   ESPAÑOL
   FRANÇAIS
   ARABIC
   ČESKY
   DEUTSCH
   ITALIANO
   JAPANESE
   MAGYAR
   NEDERLANDS
   POLSKI
   PORTUGUÊS
   SRPSKI
   SUOMI
   SVENSKA
   SWAHILI
   TÜRKÇE
PrintSend to a friend
Readers Opinions

INDIA-PAKISTAN:
Waelekeza Nguvu Katika Kujenga Vitega Uchumi na Mitandao ya Kiuchumi, Linasema Gazeti la UAE
Kwa Wahariri: Taarifa ifuatayo imetolewa na Shirika la Habari la Falme za Kiarabu (WAM)

ABU DHABI, Aprili 10 (WAM) - Gazeti katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) limesema kuwa uboreshwaji wa mahusiano na mazungumzo ya mara kwa mara kati ya India na Pakistan kutaleta faida kwa nchi zote mbili na kutaondokana na masuala ambayo yamefanya mchakato huu kuwa adui kwa miaka mingi sasa.

Likizungumza kuhusu ziara ya Rais wa Pakistan Asif Ali Zardari nchini India, gazeti la Gulf News katika tahariri yake lilisema kuwa ziara hiyo imekuja kupongezwa na wakati huo huo kama matusi.

"Lakini ukweli unabakia kuwa ni ziara ya kwanza ya kiserikali iliyofanywa na mkuu wa nchi kutoka pande zote za nchi hizo kwa kipindi cha miaka saba. Na pamoja na kwamba pande zote mbili zilifanya kazi kwa muda mrefu kupunguza matarajio ya umma, Zardari na Waziri Mkuu Manmohan Singh walisema waliridhishwa na chanzo cha ziara hiyo."

Gazeti liliongeza: "Katika suala hilo, India na Pakistan inaonekana kuwa na nia ya kuweka pembeni masuala tata kwa wakati huu na kujikita katika kujenga vitega uchumi na mahusiano ya kibiashara." (WAM) (END/2012)

 

 
English Version
Versión en español
Version em português
Japanese Version
 Latest News in Swahilli
News in RSS
UAE: Balozi Awakilisha Hati Zake kwa Rais wa Tanzania
MASHARIKI YA KATI: Gazeti la UAE Lazungumzia Ziara ya Obama
UAE: Wanawake Wengi zaidi Watarajiwa Kuanzisha Biashara Mwaka Huu
UAE: Msaada Kwenda Pakistan ni wa Kupongezwa, Linasema Gazeti la Nchini Humu
UAE: Wanawake Wapata Mafanikio Katika Sekta ya Biashara
UAE: Shirika la Ndege la Etihad Laongeza Safari za Pakistan
UAE: Ujumbe wa Kitaifa Washiriki katika Jukwaa la Utalii Uarabuni Nchini Misri
UAE: Wizara ya Masuala ya Biashara za Nje Yajadili Mahusiano na Ujumbe wa Colombia
UAE: Wizara ya Masuala ya Biashara za Nje Yajadili Mahusiano na Ujumbe wa Colombia
UAE: RCA Yasambaza Misaada ya Kiutu kwa Wakimbizi wa Syria na Jordan
More >>
  Dernières Nouvelles
News in RSS
KENYA: Des femmes pour briser le plafond de verre dans le gouvernement
RD CONGO: La réintégration des déserteurs du M23 dans l’armée divise l’opinion
ETATS-UNIS: Des réformes pourraient réduire énormément l’immigration africaine
SOMALIE: Accorder aux extrémistes une seconde chance
NIGER: La scolarisation des filles confrontée aux croyances socioculturelles
A lire également >>
 News in Swahili
News in RSS
OP-ED: Put a Spotlight on African Women’s Reproductive Rights
Civil Society Under Attack Around the World
Pressure Mounting on U.S. over Congo Violence
Is Aid to South Africa Drying Up?
Ethiopia Playing at Being Good Neighbours
With Billions of Euros Pledged, Mali Risks Aid Overflow
Fears of Rebel Infiltration of DR Congo Army
In Vietnam, Rhino Horns Worth Their Weight in Gold
Protecting Niger’s Desert Salt Pans
Israeli Students Vow to Eradicate Malnutrition
More >>